Jokate, Brown Mauzo, Abdu Kiba na wengine kuanza kuachia kazi chini ya label ya Alikiba ‘King’s Music’
Alikiba amewataja Jokate, Abdu Kiba, Delila, Abby Skills na Brown Mauzo wa Kenya kuwa ni baadhi ya wasanii ambao wapo chini ya label yake ambayo ameedai ipo tangu siku yingi lakini hakuitangaza tu.
“Mimi Record label ninayo muda mrefu,muda mrefu sana lakini sikufanya matangazo lakini nina wasanii ambao nilikuwa nawamiliki nikapumzika, sasa hivi nimerudi tena najipanga upya nao waendelee kufanya kazi, kama ambavyo unamuona Abby Skills anafanya kazi vizuri na bado ataendelea kufanya kazi, pia kuna Abdu Kiba” Alikiba alifunguka kwenye 255 ya Clouds Fm.
Jokate, Brown Mauzo, Abdu Kiba na wengine kuanza kuachia kazi chini ya label ya Alikiba ‘King’s Music’
Reviewed by Baraka
on
November 15, 2016
Rating:
Reviewed by Baraka
on
November 15, 2016
Rating:






No comments: