Miili ya Watu 13 wa familia moja waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea Uganda baada ya basi walilokuwa wanasafiria kutoka kwenye sherehe ya harusi kugongana na lori imefikishwa Tanzania na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Video iliyonasa Ndege iliyobeba miili ya Watanzania 13 ikiwasili
Reviewed by Baraka
on
September 20, 2017
Rating:
Reviewed by Baraka
on
September 20, 2017
Rating:



No comments: