Mtangazaji wa runinga na redioni Kenya Anita Nderu alidhalilishwa akisafiri kwa kutumia magari ya uchukuzi wa umma Nairobi, maarufu kama matatu.
Amejitokeza na kusimulia yalimfika akitumai kwamba hatua hiyo itawasaidia waathiriwa wengine kujitokeza.
Amejitokeza na kusimulia yalimfika akitumai kwamba hatua hiyo itawasaidia waathiriwa wengine kujitokeza.
Anita Nderu: Nilishtukia mkono wa mwanamume kwenye Nyeti Yangu!!!! -Tazama Hii Video
Reviewed by Baraka
on
October 20, 2017
Rating:



No comments: